Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi - RUWASA Mhandisi Ruth Koya ameanza ziara ya kutembelea na kukaguzi skimu za maji vijijini
Watumishi RUWASA wapigwa msasa kuhusu e-OFFICE na Maafisa kutoka Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa
Kaimu Mkurugenzi Mkuu Bwai Biseko akielezea mafanikio ya RUWASA tangu kuanzishwa kwake
Mhe. Jumaa Aweso amezindua Bodi mpya ya Wakurugenzi wa RUWASA
Miradi ya RUWASA yaendelea kung'ara Mbio za Mwenge - 2023
Mkurugenzi wa usambazaji majisafi na usafi wa mazingira kutoka Wizara ya Maji amewaasa wananchi kutunza miundombinu ya maji pamoja na kuchangia huduma
RUWASA imekutana na wahariri wa vyombo vya habari kwa lengo la kuwapa semia ya uelewa juu ya taasisi kuhusu kujenga na kusimamia miradi ya maji vijijini
Waziri Awezo aimwagia sifa RUWASA wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya Maadili ya Utumishi wa Umma, uongozi na Taaluma.
Watumishi wapya mnatakiwa kuchapa kazi kwa bidii, uadilifu na weledi - Eng. Clement KIVEGALO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizundua Skimu ya maji ya Kankonko - Kiziguzigu iliyotekelezwa na RUWASA
Rais mstaafu wa awamu ya nne Mhe. Jakaya Kikwete amesema RUWASA inawafanya kazi nzuri ya kuwapatia wananchi waishio maneno ya vijijini majisafi na salama.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Seleman Jafo akipata maelezo kuhusu ubunifu wa Dira za Maji za malipo ya Kabla
Waziri wa Maji Mh. Jumaa Aweso akizundua Baraza la Wafanyakazi la RUWASA katika Ukumbi wa Jenerali Mabeyo Jijini Dodoma
Ambapo ameipongeza RUWASA kwa kushirikiana na PLASCO katika kufanikisha utengenezaji na matumizi ya tangi hilo lenye ujazo wa lita 150,000
Ambapo kati ya hiyo, miradi 381 ni mipya na miradi 648 ni ile inayoendelea kutekelezwa amesema Mkurugenzi Mkuu Mhandisi Clement KIVEGALO
Viongozi wa Sekta ya Maji wakabidhiwa taarfia za Ukaguzi wa Hesabu pamoja na taarifa ya Utendaji ya RUWASA ya Mwaka wa Fedha 2020/2021
Mhe. Jumaa Aweso (Mb) Waziri wa Maji pamoja na viongozi wengine wakishuhudia zoezi la utiaji saini mikataba ya Dira za Maji za malipo kabla ya matumizi
Hafla ya ugawaji imefanyika mbele ya Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) pamoja na viongozi wengine wa Serikali.
RUWASA inajenga na kusimamia huduma za usambazaji maji Tanzania Bara.
Kwa kushirikiana na Wizara ya Afya, RUWASA hupanga na kusimamia huduma za maji taka Tanzania Bara.