Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

WAKALA WA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA VIJIJINI

"Maji Bombani"

Miongozo Mbalimbali

Miongozo imeandaliwa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) kwa ajili ya kuwaongoza watumishi  kufuata matakwa ya kisheria pindi wanapotekeleza majukumu ya kuwapatia wananchi huduma ya majisafi, salama na usafi wa mazingira hususani kwa wananchi waishio maeneo ya vijijini.

Mwongozo wa Kufuata Matakwa ya Kisheria

Mwongozo wa Rasilimaliwatu na Utawala

Mwongozo wa Utekelezaji Mikataba ya Ununuzi

Mwongozo wa Ushirikiano na Sekta Binafsi