Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

WAKALA WA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA VIJIJINI

"Maji Bombani"

Mafunzo ya  Mfumo wa VAT yakiendelea  Mikoa ya Kanda ya Kusini

Mafunzo ya Mfumo wa VAT yakiendelea Mikoa ya Kanda ya Kusini

Mafunzo ya  kuomba msamaha wa VAT kwa kutumia Mfumo yakiendelea  Mikoa ya Kanda ya Kusini ambapo Mameneja wa RUWASA wa Mikoa, Wilaya na Maafisa wa Mikoa ya Mbeya, Songwe, Iringa, Njombe na Rukwa wameshiriki. Mafunzo yanaendeshwa na timu ya wataalamu kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Makao Makuu Kuanzia tarehe 24 - 25 Januari, 2022.

Baada ya kukamilika kwa mafunzo hayo kwa kanda zote, Maombi ya Msamaha wa Kodi ya Ongezeko la Thamani yatakuwa yanafanyika kupitia Mfumo.