Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

WAKALA WA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA VIJIJINI

"Maji Bombani"

Mtendaji Mkuu wa RUWASA apokea shehena ya mabomba kwa ajili ya miradi ya maji

Mtendaji Mkuu wa RUWASA apokea shehena ya mabomba kwa ajili ya miradi ya maji

Mtendaji Mkuu wa RUWASA, Mhandisi Clement KIVEGALO (kulia) akizungumza baada ya kupokea shehena ya mabomba kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maji vijijini mkoani Singida. Kushoto ni aliyekuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Maji ,Prof. Kitila Mkumbo.