Kitengo hiki kina majukumu yafuatayo: -
i) |
Kuandaa na kutekeleza Sera ya Uhusiano ya Wakala; |
ii) |
Kuongeza uelewa wa umma kwa jamii za vijijini kwenye sual la
usafi, elimu ya usafi; ulinzi na uhifadhi wa vyanzo vya maji; |
iii) |
Kukuza ushirikiano baina ya Wakala, mashirika ya ndani na ya
kimataifa; |
iv) |
Kuandaa na kutekeleza mikakati na mipango ya kisoko; |
v) |
Kuratibu matangazo ya Wakala yenye kuufahamisha umma kuhusu
shughuli zake |
vi) |
Kufanya mpango wa utangazaji wa kukuza muonekano wa RUWASA; |
vii) |
Kuhakikisha tovuti na akaunti zake kwenye mitanadao ya kijamii
inakwenda kwa wakati |
viii) |
Andaa Mkakati wa Mawasiliano na muundo wake kwa RUWASA; |
ix) |
Tumia tekinolojia za kimtandao kuboresha muonekano wa RUWASA
na upatikanaji wake kwenye mitandao ya kijamii; |
x) |
Andaa mikutano mbalimbali na vyombo vya habari pamoja na
waandishi wa habari kwa ajili ya kuwaspa muhtasari wa taarifa; |
xi) |
Kukuza ushiriki wa jamii na kuelimisha umma kuhusu huduma ya
maji na usafi wa mazingira kwa kushirikiana na wadau mbalimbali; |
xii) |
Kuratibu utayarishaji, utengenezaji na usambazaji wa
vipeperushi, nakala na majarida kwa Umma; |
xiii) |
Kufanya tafiti za soko; |
xiv |
Tathmini shughuli za uuzaji na kupendekeza maboresho; |
xv) |
Kuandaa vifaa vya mawasiliano ili kukuza biashara ya RUWASA |
xvi) |
Kuratibu Mikutano ya Waandishi wa Habari |