Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

WAKALA WA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA VIJIJINI

"Maji Bombani"

Kitengo cha ICT na Takwimu

Kitengo hiki kinaongozwa na Meneja na hufanya shughuli zifuatazo: -

i)

Kushauri juu ya usalama sahihi wa vifaa na data;

ii)

Tekeleza sera ya ICT na e-governement;

iii)

Kukusanya, kusoma na kuchambua takwimu zinazohitajika katika mapendekezo ya bajeti na uundaji na utekelezaji wa mipango;

iv)

Kuratibu ukusanyaji, uchambuzi na ufafanuzi wa takwimu;

v)

Kuratibu na kutoa msaada juu ya ununuzi wa programu na vifaa vya kompyuta za Wakala;

vi)

Utunzaji wa Takwimu za Wakala;

vii)

Kuanzisha na kudumisha Tovuti na pamoja na matumizi ya barua pepe kwenye mtandao wa mtandao wa mdogo (LAN) na mtandao mkubwa (WAN)

viii)

Kuandaa na kutekeleza sera ya wakala kwenye masuala ya tekinolojia ya habari na mawasiliano (ICT)

ix)

Kuunda na kudumisha mifumo ya habari kwa ajili ya usimamizi wa CBWSO na uendeshaji wa miradi ya usambazaji maji na usafi wa mazingira vijijini