Kitengo hiki hufanya shughuli zifuatazo: -
|
i) |
Kutoa huduma za kisheria na msaada juu ya tafsiri ya sheria,
masharti ya mkataba na mikataba ya ununuzi; |
|
ii) |
Kutoa msaada wa kiufundi katika kuandaa muswada /sheria
inayopendekezwa; |
|
iii) |
Kushiriki mazungumzo na mikutano RUWASA yenye kuhitaji utaalam
wa sheria; |
|
iv) |
Tafsiri sheria ndani ya RUWASA; |
|
v) |
Kuwasiliana na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali juu ya
kesi za madai na madai mengine yanayohusu RUWASA; |
|
vi) |
Kuandaa na kukagua vyombo mawasiliano ya kisheria kama vile
maagizo, notisi, vyeti na makubaliano; |
|
vii) |
Kuhakiki mikataba kabla ya kusainiwa; |
|
viii) |
Kushuhudia na kutia saini mikataba ya kazi; na |
|
ix) |
Kuwakilisha/ kutetea Wakala kwenye mahakama kwenye mambo yote
ya kimkataba |