Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

WAKALA WA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA VIJIJINI

"Maji Bombani"

Idara ya Mipango

Idara hii inatekeleza majukumu yafuatayo;

i)

Kuwezesha uandaaji wa mpango mkakati, mpango wa biashara na MTEF

ii)

Kufanya tathmini na ufuatiliaji wa mipango kazi ya wakala na bajeti

iii)

Kuandaa mfumo wa Ufuatiliaji na Tathmini na Mpango mkakati kwa RUWASA

iv)

Kufanya zoezi la Ufuatiliaji na Tathmini ya RUWASA kwa mujibu wa lengo lililowekwa na viashiria muhimu vya utekelezaji wa majukumu

v)

Kuhamasisha upatikanaji wa rasilimali fedha kutoka vyanzo vya ndani na nje

vi)

Kuandaa mikakati mbalimbali kwa ajili ya kuwezesha upatikanaji wa fedha za ziada