Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

WAKALA WA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA VIJIJINI

"Maji Bombani"

Miradi iliyokamilika

Katika kipindi cha Mwaka wa fedha 2020/2021, RUWASA imejenga na kukamilisha jumla ya miradi  652 ikiwa na vituo vya kuchotea maji 11,457 ambayo inahudumia vijiji 1052  na kunufaisha wananchi wapatao 3,824,914.

Orodha ya miradi