Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

WAKALA WA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA VIJIJINI

"Maji Bombani"

RUWASA ililithi jumla ya skimu za maji ngapi kutoka TAMISEMI?

Kwa mwaka wa fedha 2021/2022 RUWASA imepanga kujenga jumla ya miradi ya maji mingapi?

Kwa mwaka wa fedha 2021/2022 RUWASA imepanga kujenga  jumla ya  miradi ya maji 1,527

Kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022, RUWASA imejenga na kukamilisha jumla ya miradi ya maji mingapi?

Kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022, RUWASA imejenga na kukamilisha jumla ya miradi ya maji 1,176

RUWASA ina mikakati gani kuhusu mapinduzi ya utoaji wa huduma ya maji hususani maeneo ya vijijini?

Mikakati ya RUWASA kuhusu mapinduzi ya utoaji  wa huduma ya maji hususani maeneo ya vijijini ni pamoja na:-

1. Ujenzi wa miradi ya maji yenye ubora na kujali thamani ya fedha.

2. Utoaji wa huduma ya maji kwa kutumia mita za malipo ya kabla ya matumizi (Prepaid Water Metres)