Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

WAKALA WA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA VIJIJINI

"Maji Bombani"

RUWASA ilirithi jumla ya skimu za maji ngapi kutoka TAMISEMI?

Kwa mwaka wa fedha 2023/2024 RUWASA imepanga kujenga jumla ya miradi ya maji mingapi?

Kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023, RUWASA ilipanga na kukamilisha jumla ya miradi ya maji mingapi?

RUWASA ina mikakati gani kuhusu mapinduzi ya utoaji wa huduma ya maji hususani maeneo ya vijijini?

Mikakati ya RUWASA kuhusu mapinduzi ya utoaji  wa huduma ya maji hususani maeneo ya vijijini ni pamoja na:-

1. Ujenzi wa miradi ya maji yenye ubora na kujali thamani ya fedha.

2. Utoaji wa huduma ya maji kwa kutumia mita za malipo ya kabla ya matumizi (Prepaid Water Meter)