Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

WAKALA WA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA VIJIJINI

"Maji Bombani"

RUWASA yatangaza Bei Ukomo za Maji Vijijini

RUWASA yatangaza Bei Ukomo za Maji Vijijini

Mwenyekiti wa Bodi Prof. Idriss Mshoro ametangaza bei Ukomo za Maji Vijijini ambazo zitaanza kutumika rasmi kuanzia tarehe 1 Agosti, 2022.